AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Za Motomoto News, Shilole alisema hakuna siri duniani na wasanii wa kike ambao wamekuwa wakiwaficha watoto wao na kusema hawajawahi kuzaa au walizaa wakafa, ipo siku wataumbuka, pia wanatakiwa kutambua kuwa wanakosa riziki kwa sababu ya kuwaficha malaika hao wa Mungu.
“Hakuna siri duniani, ipo siku Mungu atawaumbua wote wanaodanganya kwamba hawana watoto au wamekufa, kuficha malaika hao wanakosa riziki ambazo wangepata kupitia wao, jamani wanawake wenzangu badilikeni, kuwa na mtoto au watoto siyo kashfa ni baraka maana wapo wanaotafuta wanakosa,” alisema Shilole.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK