Hamisa Mobetto "Voice Note Zilizovuja Zilikuwa Zangu ila Nilikuwa Naongea na Shekhe sio Mganga"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katika mahojiano yaliyofanywa kati ya Hamisa Mobetto na Mtangazaji Lily Ommy Katika Kipindi cha Play List cha Times FM ,Hamisa ameweka wazi kuwa zile sauti zilizovuja akiongea na mganga zilikuwa zake ila amekanusha na kusema yule hakuwa mganga bali alikuwa shekhe wa dini na nia yake kubwa ilikuwa ni kuomba amani kati yake na familia ya Diamond na wala si kumloga mama Diamond Kama Diamond Alivyodai



Mtazame Hapa:

A post shared by Udakutv (@udakutv_) on
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad