AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jijini Dar es Salaam mabingwa wa kihistoria katika ligi, Yanga, watakuwa wanacheza dhidi ya Coastal Union ya Tanga, mechi ikianza saa 1 jioni.
Kuelekea mechi hiyo, Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten, amesema kikosi chao kipo tayari kwa ajili ya kipute hicho dhidi ya wagosi wa kaya.
Aidha, katika Uwanja wa Samora huko Iringa, Lipuli itakuwa inaikaribisha Alliance School ya mwanza ambapo mechi itaanza majira ya saa 8 mchana.
Pia kunako dimba la Mwadui Complex wenyeji ambao ni Mwadui FC watakuwa wanacheza dhidi ya JKT Tanzania kuanzia saa 10 kamili jioni.
Mechi hizi zote zitaruka hewani kupitia Azam TV
Mechi zingine ni
Biashara United vs Azam FC
Mbeya City vs Ruvu Shooting na
Ndanda FC vs Mtibwa Sugar
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK