AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rai ya Jeshi la Polisi kwa wananchi ni kutekeleza haki yao ya kikatiba kwa kufuata sheria na taratibu watakazo elekezwa siku hiyo na wahusika wa uchaguzi bila kuleta vurugu au wao kuwa chanzo cha vurugu.
Katika kila kituo cha kupigia kura kutakuwa na askari wa vikosi mbalimbali, wakifanya doria kila sehemu wakiongozwa na askari maalumu wa kikosi cha kutuliza ghasia.
Jeshi halitasita kuchukua hatua za haraka za kisheria kwa mtu yeyote au kikundi chochote chenye nia ya kufanya vitendo vyovyote ambavyo ni kinyume na kanuni au sheria ya uchaguzi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK