Jeshi la Polisi Laahidi Kuimarisha Ulinzi Uchaguzi Ukonga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jeshi la Polisi litaimarisha ulinzi siku ya uchaguzi mdogo utakaofanyika tarehe 16.09.2018 wa ubunge jimbo la Ukonga na udiwani kata ya Vingunguti ili kuhakikisha mchakato wote wa masuala ya uchaguzi unafanyika katika misingi ya sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi.



Rai ya Jeshi la Polisi kwa wananchi ni kutekeleza haki yao ya kikatiba kwa kufuata sheria na taratibu watakazo elekezwa siku hiyo na wahusika wa uchaguzi bila kuleta vurugu au wao kuwa chanzo cha vurugu.



Katika kila kituo cha kupigia kura kutakuwa na askari wa vikosi mbalimbali, wakifanya doria kila sehemu wakiongozwa na askari maalumu wa kikosi cha kutuliza ghasia.



Jeshi halitasita kuchukua hatua za haraka za kisheria kwa mtu yeyote au kikundi chochote chenye nia ya kufanya vitendo vyovyote ambavyo ni kinyume na kanuni au sheria ya uchaguzi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad