AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lugola ametokea mkoani Kigoma ambapo amesitisha ziara yake ya kikazi na kulazimika kuelekea Jijini mwanza kufuatilia ajali ya MV Nyerere.
Amesema zoezi la uokoaji na uopoaji litaendelea mpaka hatua ya kivuko kuondolewa majini.
Pia amesema wote wanaotumia ajali ya Kivuko cha MV Nyerere kama mtaji wa kisiasa watakamatwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
“Hatuko tayari kupitia tukio hili kuchonganisha serikali na wananchi wake, tutakaowabaini tutawakamata” Amesema Lugola
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK