Kangi Lugola Asema Wote Wanaotumia Ajali ya MV Nyerere Kama Mtaji wa Kisiasa Watakamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kangi Lugola Asema Wote Wanaotumia Ajali ya MV Nyerere Kama Mtaji wa Kisiasa Watakamatwa
Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola, amewasili katika eneo la tukio kilipozama kivuko cha Mv Nyerere huko Ukara Ukerewe mkoani Mwanza.

Lugola ametokea mkoani Kigoma ambapo amesitisha ziara yake ya kikazi  na kulazimika kuelekea Jijini mwanza kufuatilia ajali ya MV Nyerere.

Amesema  zoezi la uokoaji na uopoaji litaendelea mpaka hatua ya kivuko kuondolewa majini.

Pia amesema wote wanaotumia ajali ya Kivuko cha MV Nyerere kama mtaji wa kisiasa watakamatwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

“Hatuko tayari kupitia tukio hili kuchonganisha serikali na wananchi wake, tutakaowabaini tutawakamata”   Amesema Lugola
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad