Kwa Kiwango Nilichofikia Siwezi Kuwa Video Queen- Lulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii mkongwe wa Bongo movie Mrembo Elizabeth Michael amefunguka na kudai hawezi kuwa mtumwa wa pesa kwa kufanya kila kazi iliyopo mbele yake.

Lulu ambaye alijipatia umaarufu tangu akiwa na miaka nane Kupitia uigizaji amefunguka na kudai hawezi kutaka kufanya kila sanaa kwa sababu tu ni msanii bali ameridhika kuwa muigizaji basi.

Lulu aneweka wazi kuwa tofauti na wasanii wengi wa Bongo movie yeye binafsi hawezi kabisa kufanya kazi kama video queen Kwenye video mbali mbali za wasanii.

Nadhani kwa kiwango nilichofika ni wakati wa kushika hiki hiki, siwezi kuwa Video Queen na Actress. Siwezi kuwa mtumwa wa pesa kwa kufanya hivyo Some times ni kuweka tu mipaka ya kazi zako”.

Anasema kama ni suala la kupata kwa njia ya sanaa, uigizaji unatosha na anafikiria anahitaji kujikita zaidi huko kuliko fani nyingine, kwani anaamini ameandikiwa kupata kupitia huko na si kuhangaika huku na huko akiendekeza pesa na anaamini bila kuwa na msimamo ni rahisi kufanya hata kazi mbaya.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad