AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ilidaiwa kwamba, awamu hii wawili hao wameamua kuyaweka wazi mapenzi yao na huenda Lynn akachukua nafasi ya Mobeto ambaye alifanikiwa kuzaa mtoto mmoja na Diamond. Baada ya picha hizo ‘kusumbua’ mitandaoni, Ijumaa lilimtafuta mwanadada huyo na kumbana ili kupata undani wake na Diamond kama wapo kwenye uhusiano au walikwenda kwa ishu ya kikazi, lakini aliishia kutoa povu kwa mwandishi wetu. “Nini? Bwana? Mi’ sijui, mniache na maisha yangu, tena mniache,” alijibu Lynn kwa kifupi huku akisitasita kisha akakata simu baada ya kugoma kutoa ushirikiano. Kwa upande wake Diamond alipotafutwa na gazeti hili ili kueleza mbivu na mbichi kati yake na Lynn alifunguka;
“Kwa nini kila mwanamke nahusishwa naye? Tatizo kila mrembo ninayekuwa naye karibu kikazi watu wanasema natembea naye. Hakuna chochote kati yangu na huyo Lynn zaidi ya kufahamiana naye kikazi. “Kuna wakati napata ugumu sana maana kila mwanamke ninahusishwa naye wakati hata sijawahi kumtamkia neno la mapenzi zaidi ya kazi tu. “Unajua kazi yangu ni muziki so (hivyo) kukutana au kuwa karibu na warembo ni sehemu ya kazi yangu, sasa watu wakiniona nao wanajua tayari niko nao kimapenzi
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK