AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama cha Mapinduzi kimefanikiwa kuibuka na ushindi katika kata tatu ambazo kura zake zimeshahesabiwa kwenye uchaguzi mdogo unaoendelea hivi sasa nchini.
Robson Kimarowa wa CCM ametangazwa kuwa diwani wa kata ya Machame Uroki baada ya kupata kura 2,174 dhidi ya kura 704 za mgombea wa Chadema.
Kutoka kata ya Maanga jijini Mbeya, Newton Mwajutobe wa CCM ametangazwa mshindi kwa kupata kura 1,897 dhidi ya kura 1,703 alizopata Mwashilindi ambaye ni mgombea wa Chadema.
Matokeo mengine Yohana Laizer wa CCM ameshinda kata ya KIA mkoani Kilimanjaro kwa kujinyakulia kura 1,367 dhidi ya mgombea wa Chadema aliyepata kura 203
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK