AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
katika ukurasa wake wa instagram, Mange Kimambi meweka picha ya rayvanny akiwa anafagia pesa ze noti ya shilingi elfu 10 huku wakati huo huo msanii maua sama na Soudy Brown wakiripotiwa kuwa mahakamani kwa kosa la kusambaa kwa video iliyokuwa ikiwaonyesha wakiwa wanakanyaga pesa hizo.
Mange Kimambi analalamika kuwa Mh Makonda amekuwa akiwakingia kifua wasanii wa WCB huku wasanii wengine wakiwa wanateseka na makosa kama yao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK