Mange Aingilia Kati Sakata la Kukamatwa kwa Soudy Brown na Maua Sama Ataka Daimond Naye Akamatwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mange Aingilia Kati Sakata la Kukamatwa kwa Soudy Brown na Maua Sama Ataka Daimond Naye Akamatwe
Mwanadada Mange Kimambi amefunguka na kumtolea povu Mh Paul Makonda kwa kile kilichodaiwa kuwa wasanii wa WCB wamekuwa wakiangaliwa kwa mambo mengi wanayoyafanya ambayo yanakuwa hayana maadili katika jamii lakini wakifanya wasanii wengine inaonekana ni kosa kubwa.

katika ukurasa wake wa instagram, Mange Kimambi meweka picha ya rayvanny akiwa anafagia pesa ze noti ya shilingi elfu 10 huku wakati huo huo msanii maua sama na Soudy Brown wakiripotiwa kuwa mahakamani kwa kosa la kusambaa kwa video iliyokuwa ikiwaonyesha wakiwa wanakanyaga pesa hizo.

Mange Kimambi analalamika kuwa Mh Makonda amekuwa akiwakingia kifua wasanii wa WCB huku wasanii wengine wakiwa wanateseka na makosa kama yao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad