Mbowe 'Tumeshindwa Kupakia Jenereta Tukawasha Umeme Tukawaokoa'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amezungumzia kuhusu uokoaji wa wa Wananchi waliozama kwenye ajali ya MV Nyerere iliyotokea jana katika ZiwaVictoria na kuua Watanzania takribani 100.

“Tumeshindwa hata kupakia jenereta kwenye mtumbwi tukaenda kuwasha umeme tukawaokoa, au tuliridhika kwamba wote waliobakia humo ni marehemu? Huwezi kuokoa watu waliolala kwenye maji kesho yake asubuhi.
“Kwa hili la MV Nyerere, Wananchi wote tuungane tupige kelele, mtu awajibike kwa uzembe huu. Ingekuwa nchi za wenzetu, tangu jana wangekuwa wameshaadhibiwa. Chadema tunamtaka Rais achukue hatua kuwawajibisha hawa watu, ninaongea kama Mtanzania,” amesema Mbowe.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad