AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram, Mkude ameandika kuwa kama Watanzania kwa pamoja tuungane kuwaombea wawakilishi wetu.
”Sisi ni Tanzania. Sisi ni Taifa Stars. Kwa pamoja, tuungane kuwaombea wawakilishi wetu kwenye mchezo wa leo dhidi ya Uganda,” ameandika Mkude.
Stas ikiwa chini ya nahodha mahiri Mbwana Samatta itashuka dimbani hii leo majira ya saa 10 alasiri kuikabili timu ya taifa ya Uganda katika mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza michuano ya AFCON 2019.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK