AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bahati anasema kuwa aliolewa na ndoa ilimshinda, lakini pia hii haimaanishi kuwa huko ni kufeli maisha kwa sasa kwa miaka 12 sasa anaishi maisha yake na hakuna alichopungukiwa.
mimi niliolewa na kwa bahati mbaya au nzuri ndoa ilinishinda na haikudumu kwa muda mrefu basi tukaachanam yeye anaishi kwake na mimi ninaishi kwangu na kwa takribani kwa miaka 12 sasa.Na hii kwangu sio siri na hata nikiandika kitabu au niknda kokote pale nikiwa ninaonga hii sitairuka kwamba niliolewa na ndio ikanishinda na nikaachika, nikaendelea kuishi maisha yangu na wala sio siri na wala sina kilema.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK