Njia Sita za Kumnasa Demu Mkali Ambaye Anatingisha Mtaa Mzima..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




KUNA watu wamezaliwa wakiwa na hofu kubwa ya kuwaogopa mademu wazuri. Kuna mwingine akimuona demu mzuri mtaani, anajisemea kabisa kwamba; yule si taipu yangu, eti kisa kapendeza, msafi na anaonekana matawi fulani ya juu.

Mwanaume anatakiwa kujiamini, hakuna mwanamke duniani ambaye si saizi yako, kila demu unayemuona mtaani basi jua kwamba huyo ni saizi yako ndiyo maana Mungu kamuweka katika dunia hii na wewe kufanikiwa kumuona.

 Leo nataka nikufundishe namna ya kumpata demu mkali, hata kama wewe ni muoga, unahisi kwamba mademu wa aina hiyo si taipu yako lakini naamini njia hizi zitakufanya kumpata kiurahisi kabisa na kufanya mambo yako, kama ni kupanga naye maisha au la.

TAFUTA JINA LAKE KWANZA

Unapomtaka demu mkali mtaani kwako, kitu cha kwanza tafuta jina lake. Hii itakusaidia kumshangaza. Wanawake wapo hivi, huwa hawapendi sana kujulikana, inapotokea msichana huyo ukaonana naye na kumuita jina lake, kwanza atasimama, atakuuliza umenijuaje? Nani kakwambia jina langu? Usiogope, kwanza tabasamu, hilo litamfanya kuona kwamba wewe ni mtu mzuri, jibu utakalompa, hakikisha linakuwa lile la kukutafuta baadaye.

Kwa mfano unaweza kumwambia: “Mbona nakufahamu! Wewe ni staa sana hapa mtaani, kila mtu anakujua!” ukimwambia hivyo, atataka kujua zaidi na zaidi, ni akina nani wanaomjua halafu mbona yeye siyo staa! Unachotakiwa kufanya ni kujiweka bize, mwambie ‘nitakwambia nimekujuaje ila kwa sasa kuna sehemu nawahi.’

Ukifanya hivyo itamfanya yeye kuwa na hamu ya kukutafuta. Hata ukimwambia akutafute baadaye, atakutafuta kwa lengo la kutaka kujua imekuwaje. Ukiona ameelekea kidogo, mwambie niachie namba yako, nitakwambia, si hilo tu, kuna mengi kuhusu wewe.

Nakwambia hivi, kwa hatua hiyo, hakuna msichana ambaye atakukazia namba yake, lazima atakupa.

USIMLETEE SANA SHOBO

Akikupa namba, usijifanye kuwa na haraka ya kumtafuta. Unachotakiwa kufanya ni kucheza na akili yake kwanza. Najua atakuwa na hamu ya kupata simu yako, kwa siku hiyo mkaushie mpaka kesho yake ndipo umtafute. Kuwa makini, usimpigie, wewe mtumie meseji, mwambie “Upo poa staa wangu wa ukweli?” atakachokifanya ni kuuliza wewe nani! Inawezekana akawa anajua, ila kwa mapozi ya kike ni lazima ajidai kuuliza. Mwambie ni yule mshikaji wa jana! Ongezea kwa kumwambia kwamba utamtafuta ukirudi kutoka kazini, hata kama huna kazi, jiongeze kidogo.

MPIGIE SASA, ANZA KUMSIFIA

Wanawake wanapenda sifa, wanapenda kusifiwa. Kitu cha kwanza mwambie kwamba kuna siku uliwasikia washikaji wakimzungumzia, kwamba demu fulani mkali, anajua kuvaa, ananukia vizuri, ukataka kumjua ndipo wakasema kwamba ni yeye. Hilo litamfanya kujiona anakubalika sana, kumbe watu wanamsifia mtaani, kumbe wewe unamuweka kwenye saiti yako.

Ukiwa unazungumza naye, jifanye mcheshi sana, mchekeshe, mwambie na wewe ulivyokuwa na hamu ya kumjua msichana huyo msafi na mrembo ndiyo maana ukaamua kumtafuta. Mpaka kufika hatua hiyo, ataanza kukukubali, kwa ucheshi utakaomuonyesha atakuona wewe mtu mzuri na mtakuwa mnaanza kuchati. Usimtongoze lakini muonyeshee dalili za kumtaka. Chati naye hata kwa wiki moja halafu fanya njia ifuatayo;

MUOMBE MTOKO WA KIZUSHI

Hapa simaanishi mtoko wa kwenda klabu au ule mtoko siriazi sana, kwanza mwambie wewe siyo mtu wa klabu ila unataka kumpeleka sehemu fulani hivi kwenda kunywa kahawa au juisi. Kwenye kumuomba mwambie utajisikia furaha ukiwa unatembea na demu mkali kama yeye, mwambie kila mwanaume anajisikia fahari akitembea na msichana anayependeza na kunukia vizuri kama yeye. Kwa sifa hizo za mara kwa mara, atakwambia anayo nafasi hivyo atakukubalia.

KUWA MAKINI KWENYE MTOKO WAKO

Demu yeyote anapenda mwanaume mchangamfu, jinsi utakavyomuonyeshea uchangamfu kwenye simu iwe hivyohivyo hata ukionana naye na kutembea naye. Usimuonyeshee akahisi yule wa kwenye simu ni tofauti na huyu.

NENDENI MNAPOKWENDA

Usitake kutumia sana pesa, usitake kuingia gharama kubwa kwani mademu wana kawaida ya kumsoma mwanaume siku ya kwanza tu. Kama vipi mwambie wakati wa kurudi mtembee kwa miguu, hii itakupa nafasi ya kuzoeana sana, hata kama akitaka mpande usafiri, mwambie mtachukua mbele, kwanza omba kutembea naye hata nusu kilometa. Katika maongezi yote usijisifie ila mfanye ajue unajua mambo mengi sana.

Jaribu kumwambia mambo ambayo unaamini hata yeye hayajui na angefurahi kuyajua. Mwambie kuhusu hadithi ya Romeo And Juliet, mwambie kuhusu Malkia Cleopatra alivyotetemesha kwa uzuri wake, mwambie mambo mengi ambayo utaamini kwamba hayafahamu ila angependa ayafahamu.

MALIZIA KWA KUMWAMBIA HIVI…

Mkiachana na kurudi nyumbani, mpigie simu, mwambie unamisi uwepo wake, ungetamani uwe naye tena, unaimisi harufu yake, mwambie ulikuwa karibu na ua kwa hivyo ile harufu yake imekupata hata wewe. Mchekeshe kidogo, mwambie unamisi tabasamu lake, mwendo wake wa twiga, mwambie unamisi uzuri wake, yaani huo ndiyo muda wa kumsifia mpaka ajione duniani hakuna mwanamke kama yeye. Ukifanya hayo, jua kwamba huyo mwanamke lazima akukubali kwani atahisi yupo na mtu sahihi. Tukutane wiki ijayo kwa mada nyingine bomba zaidi.
TAZAMA WIMBO MPYA WA ROSA REE

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. 1. 71 Jobs at Tanzania Ports Authority (TPA)
    2. Jobs at Amani Centre for Street Children, Project Accountant
    3. Jobs at Tropical Air Z Ltd, Accountable Manager
    4. Jobs at Outstanding Solutions, Reservation and Office Agent
    5. Jobs at VSO International, Environmental Adviser
    6. Ajira za walimu at Feza Schools, Primary School Teachers
    7. Ajira za Walimu at Feza Schools, O-Level Teachers
    8. Ajira za Walimu at Feza Schools, A- Level Teachers
    9. 2 Jobs at Leading Bank in Tanzania,Head of Credit Management
    10. 20 Jobs at Air Tanzania Company Limited (ATCL)
    11. Jobs at TIGO Tanzania, Accounts Executive Receivable
    12. Jobs at The Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), Field Research
    13. Jobs at Jubilee Insurance, Life Insurance Agents And Unit Managers
    14. Jobs at Grumeti Reserves Ltd, Captain Cessna Caravan & First Officers
    15. Jobs at Alistair Group, Project Manager
    16. Jobs at TWESCO, HR and Administration Manager
    17. Jobs at Foundation for Civil Society, Office Executive Assistant
    18. Jobs at Foundation for Civil Society, Marketing & Communication Executive
    19. Jobs at Tallywood Quality Care Company Limited, Marketing and Sales Officer
    20. Jobs at SCHULBANK | Education Fund for Tanzania, Learning Mentor
    21. Jobs at African Talent Company | TATC Africa, Marketing Manager
    22. Jobs at TradeMark East Africa (TMEA) , Human Resources Manager
    23. Jobs at TradeMark East Africa (TMEA), Procurement Officer
    24. 2 Job Opportunities at Top Target
    25. Job Opportunity at CRDB Bank Plc
    26. 3 Job Opportunities at Mwananchi Communications Limited
    27. Job Opportunity at World Vision, Regional Senior IT Auditor
    28. 118 Government Job Opportunities at UTUMISHI Public Service Recruitment Secretariat
    29. Jobs at SNV Tanzania, Project Officer
    30. Job Opportunity at Uber, Greenlight Senior Expert
    31. Job Opportunity at Marian University College
    32. 3 Job Opportunities at TAYOA Dodoma
    33. Job Vacancies at Save the Children Tanzania
    34. DHL EXPRESS & UDSM: A World Class Graduate Development Programme November, 2018
    35. Job Opportunities at Jhpiego
    36. Jobs Opportunies at Zambia Cargo & Logistics Limited (ZCL) in Dar es Salaam
    37. Jobs at CarlCare International, Shop Manager
    38. Jobs at Mott MacDonald’s International, Project manager
    39. The U.S. Mission in Tanzania, Communication and Records Supervisor
    40. Jobs at Aga Khan Health Services Tanzania, Data Manager
    41. 10 Jobs at Melva International Ltd, Sales Freelancers
    42. Jobs at Serene Microfinance LTD, HR and Administration Manager
    43. Jobs at Mohammed Enterprises Tanzania Limited – MeTL, Discharge Warehouse in Charge
    44. Jobs at Rigor Company Ltd, Front office/Housekeeping Supervisor
    45. Jobs at Water Aid, Director of Finance
    46. Jobs at Britam, Underwriting Assistant
    47. Jobs at Britam, Corporate Sales Executive
    48. Jobs at Britam, Branch Manager
    49. Jobs at TWESCO, Workshop Supervisor


    BOFYA PALE JUU

    ReplyDelete

Top Post Ad