AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Cardi B pamoja na Offest walibahatika kumpata Kulture July 11,2018 lakini kwa upande wa Offset tayari ana watoto wengine wawili wa kiume na kufanya kwake hivyo inaonekana ni jambo la kawaida kutokana na kuzoeleka kuchora tattoo ya majina ya watu wake wa karibu kwenye mwili wake.
Rappa huyo anadaiwa kuwachora tattoo watoto wake wa kiume pamoja na mke wake Cardi B ikiwemo na majina mengine ya watu wake wa karibu na anaowapenda.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK