AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ray C na Mobetto wameahawahi kukwaruzana siku za nyuma ambapo Ray C alimponda Hamisa kwa mavazi yake ambayo alikuwa anauza Dukani kwake na kuyaita fake jambo lililopelekea mashabiki wa Hamisa kumvamia na kusababisha varangati.
Lakini Baada ya muda kupita Ray C ameonekana kumaliza bifu hilo baada ya kuposti video mpya ya Hamisa ya wimbo wake wa Madam hero na kuwataka mashabiki zake wakaangalie wimbo huo na kumsapoti Mobetto.
kuonyeshwa kuwa ameguswa na Kitendo hicho Hamisa alimshukuru Ray C na hata kutaniana kuhusu nguo za zilizowagom mbanisha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK