Ray C Aamua Kumaliza Beef na Hamisa Mobeto... Hiki Ndicho Alichokifanya Kwenye Video ya Madame Hero

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ray C Aamua Kumaliza Beef na Hamisa Mobeto... Hiki Ndicho Alichokifanya Kwenye Video ya Madame Hero
Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila Maarufu kama Ray C ameonekana kumaliza bifu lake na Mwanamitindo Hamisa Mobetto baada ya kuposti video yake mpya.

Ray C na Mobetto wameahawahi kukwaruzana siku za nyuma ambapo Ray C alimponda Hamisa kwa mavazi yake ambayo alikuwa anauza Dukani kwake na kuyaita fake jambo lililopelekea mashabiki wa Hamisa kumvamia na kusababisha varangati.

Lakini Baada ya muda kupita Ray C ameonekana kumaliza bifu hilo baada ya kuposti video mpya ya Hamisa ya wimbo wake wa Madam hero na kuwataka mashabiki zake wakaangalie wimbo huo na kumsapoti Mobetto.

kuonyeshwa kuwa ameguswa na Kitendo hicho Hamisa alimshukuru Ray C na hata kutaniana kuhusu nguo za zilizowagom mbanisha.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad