AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TCRA imewataka wateja wa ving’amuzi hivyo kutoa taarifa juu ya majina yao kamili yaliyosajiliwa katika king’amuzi, aina ya king’amuzi anachotumia, namba ya kadi ya king’amuzi chake, eneo alipo, kiasi cha pesa ambacho amekuwa akilipia kutazama chaneli hizo na idadi ya miezi aliyolipia.
Taarifa hiyo ni maalumu kwa mtazamaji aliyekuwa anatozwa kutazama chaneli za televisheni ya TBC 1, ITV, STAR TV, CHANNEL TEN, EAST AFRIKA TV, na CLOUDS TV.
TCRA imewataka wahanga hao kutoa taarifa hizo ofisini kwao kupitia barua pepe au barua ya kawaida kwenye anuani yao ya dg@tcra.go.tz au kupitia kwa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Mawasiliano kwa sanduku la Posta 474.
Mnamo Agosti 7, 2018 Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania iliziamuru Kampuni za DSTV, AZAM TV na ZUKU kuondoa cheneli za kutazamwa bila kulipia baada ya kukiuka sheria na masharti ya leseni zao kwa kuwatoza watazamaji ada za viwango mbalimbali kutazama chaneli hizo ambazo kisheria zinapaswa kutazwa bure.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK