AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wachezaji hao ni Juma Mahadhi na Baruan Akilimali watakosekana kwenye mechi hiyo yenye msisimko wa aina yake haswa pale timu hizo zinapokutana.
Uongozi wa Yanga umesema kuwa wachezaji hao wanauguza majeraha yao na sasa wanaendelea na matibabu ili kujiweka fiti kwa ajili ya mechi zijazo.
Aidha Yanga itamkosa beki wake tegemeo na Nahodha, Kelvin Yondani kutokana na kuwa na kadi tatu za njano.
Yondani atakuwa anatumikia adhabu hiyo ambapo atakuwa anautazama mchezo dhidi ya walima alizeti wa Singida akiwa jukwaani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK