AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Davina aliyasema hayo wakati akipiga stori na Za Motomoto News kuwa ni kweli aliwahi kusema kwamba hana mpango wa kuingia tena kwenye ndoa, lakini kwa kuwa ni binadamu kwa sasa wakati umefika na tayari ana mchumba ambaye anatarajia kuingia naye kwenye ndoa mwakani.
“Ikiwa mimi ni binadamu niliyekamilika, siwezi kukaa hivi bila kuolewa tena milele, niliyoyasema mwanzo ni maneno tu, lakini kwa sasa tayari nina mchumba na Mungu akipenda nitaingia tena kwenye ndoa mwaka ujao,” alisema Davina.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK