Diamond, Rayvanny na Nandy Washinda tuzo Za African Entertainment Awards USA 2018 Huko Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Muimbaji wa Bongo Flava, Diamond Platnumz ameshinda tuzo mbili za African Entertainment Awards USA 2018 zilizofanyika October 20, New Jersey Nchini Marekani.


Msanii huyo kutokea WCB ameshinda kwenye vipengele vya Best Collaboration Of the Year kupitia wimbo wake uitwao AfricanBeauty ambao amemsjirikisha Omarion kutoka Marekani, pia ameshinda kama Best Male Artist of the Year.


Pia DJ wa Diamond Platnumz, Rommy Jones ameshinda kwenye kipengele cha Best Dj of the Year.


Msanii mwingine kutokea WCB, Rayvanny amefanikiwa Kushinda tuzo hiyo kwenye kipengele cha ya Best Vocalist of the Year. Huku Nandy akishinda kama Best Single Female kupitia wimbo wake uitwao Kivuruge.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad