AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
IGP Simon Sirro leo Oktoba 19 amezungumza mbele ya Wanahabari katika Makao Makuu ya Polisi, Posta Jijini Dar na kuelezea matukio mbalimbali ya Uhalifu yanayotokea nchini
Ameelezea kuhusu tukio la kutekwa kwa Mfanyabiashara Mohammed Dewji maarufu 'Mo Dewji', na kuonesha picha ya gari linalohisiwa kutumika katika utekaji huo
Amesema wamelifuatilia gari hilo aina ya Toyota Surf na kugundua kuwa liliingia nchini kutokea nchi jirani mnamo Septemba 01 mwaka huu
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK