IGP Simon Sirro "Gari Lililomteka Mo Dewji Liliingia Tanzania Kutoka Nchi Jirani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


IGP Simon Sirro leo Oktoba 19 amezungumza mbele ya Wanahabari katika Makao Makuu ya Polisi, Posta Jijini Dar na kuelezea matukio mbalimbali ya Uhalifu yanayotokea nchini

Ameelezea kuhusu tukio la kutekwa kwa Mfanyabiashara Mohammed Dewji maarufu 'Mo Dewji', na kuonesha picha ya gari linalohisiwa kutumika katika utekaji huo

Amesema wamelifuatilia gari hilo aina ya Toyota Surf na kugundua kuwa liliingia nchini kutokea nchi jirani mnamo Septemba 01 mwaka huu
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad