AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mahojiano hayo Lukamba amesema kuwa amekuwa akitumiwa meseji nyingi kupitia Insta Dm, huku wakimwagia sifa mbalimbali, Pia amefunguka kuwa gari aliyopewa na bosi wake akatwi chochote kwenye mshahara wake.
Alichokisema Diamond wakati anamzawadia Lukamba zawadi ya gari
“Lukamba anakaa Bunju, kuna kipindi alikabwa na kuchukuliwa hadi laptop sasa leo nampatia gari,” aliyasema Diamond Platnumz akiwa katika tafrija aliyoifanya mitaa ya Tandale Sokoni katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo aligawa misaada mbalimbali kwa wananchi wa Tandale.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK