Miili ya Watumishi Watano wa Wizara ya Kilimo Waliokufa kwenye Ajari Yaagwa Leo Dodoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Miili ya Watumishi Watano wa Wizara ya Kilimo Waliokufa kwenye Ajari Yaagwa Leo Dodoma
MIILI ya watumishi 5 wa Wizara ya Kilimo na Chakula waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea juzi Oktoba 21, 2018  eneo la Njirii wilayani Manyoni, Singida inaagwa leo katika Viwanja vya Wizara hiyo jijini Dodoma na baadae kusafirishwa kuelekea Bukoba na Dar es Salam kwa ajili ya mazishi.



Ajali hiyo ilihusisha magari mawili, moja lenye namba za usajili STK 8925 mali ya Wizara ya Kilimo na Chakula ambalo lilikuwa likitokea Dodoma kwenda Shinyanga, na lori (semi-trailer) lililokuwa likielekea Dar es Salaam lenye usajili wa RIC 152Y ambayo yaligongana uso kwa uso.



Watumishi waliofariki katika ajali hiyo ni;

1. Stella Ossano (39)

2. Esta Mutatembwa (36)

3. Abdallah Mushumbusi (53)

4. Charles Somi

5. Erasto Mhina (43).
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad