AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajali hiyo ilihusisha magari mawili, moja lenye namba za usajili STK 8925 mali ya Wizara ya Kilimo na Chakula ambalo lilikuwa likitokea Dodoma kwenda Shinyanga, na lori (semi-trailer) lililokuwa likielekea Dar es Salaam lenye usajili wa RIC 152Y ambayo yaligongana uso kwa uso.
Watumishi waliofariki katika ajali hiyo ni;
1. Stella Ossano (39)
2. Esta Mutatembwa (36)
3. Abdallah Mushumbusi (53)
4. Charles Somi
5. Erasto Mhina (43).
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK