Mwili wa Issac Gamba Kuwasili leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwili wa Issac Gamba Kuwasili leo
Mwili wa aliyekuwa Mtangazaji wa Idhaa ya Sauti ya Kiswahili ya DW ya Ujerumani, Isaac Gamba unatarajia kuwasili leo hapa nchini kwaajili ya kuendelea na taratibu za mazishi.

amefariki dunia akiwa nchini humo.

Taarifa za awali za kifo cha mtangazaji huyo Mtanzania zinadai amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake siku ya Alhamisi huko nyumbani kwake ujerumani.

Akiwa nchini, Gamba amewahi kufanya kazi vyombo mbalimbali vya habari ikiwamo Redio Uhuru, RFA, ITV na kabla ya kwenda Ujerumani alikuwa Radio One.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad