Mwili wa Pancho Latino Kuagwa Kesho Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwili wa Pancho Latino Kuagwa Kesho Dar
Mwili wa  mtayarishaji huyo wa muziki Joshua Magawa maarufu kama Pancho Latino utaagwa kesho katika hospitali ya Lugalo Jijini Dar es Salaam na kusafirishwa kupelekwa Gairo mkoani Morogoro kwa mazishi.

Msemaji mkuu wa shughuli hiyo ya mazishi msanii Fid Q amesema kuwa shughuli za kuaga zitaansa saa 4:00 asubuhi na baada ya hapo utasafirishwa kwao gairo ambapo wanatarajia kufika usiku.

Pancho alifariki juzi katika visiwa vya mbudya alikokuwa akiogelea
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad