Mwili wa Pancho Waagwa Dar Kuzikwa Kesho Gairo Morogoro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwili wa Pancho Waagwa Dar Kuzikwa Kesho Gairo Morogoro
MASTAA, wadau wa sanaa ya muziki na waombolezaji mbalimbali wamejitokeza leo Ijumaa, Oktoba 12, 2018, kuaga mwili wa aliyekuwa Producer wa Studio za H-Bits, Pancho Latino, katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar.



Pancho maarufu kama Mafia, alifariki dunia juzi jioni kwenye ajali ya kuzama na maji wakati akiogelea kwenye Kisiwa cha Mbudya jijini Dar es Salaam.



Mwili wa marehemu umeagwa leo Dar na katika ibada maalum ya kuaga na utasafirishwa kwenda nyumbani kwao Gairo, mkoani Morogoro kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika kesho Jumamosi.




----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad