AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kila ninapoenda anataka nitume picha kwa whatsap hata kama kwenye daladala nimesimama anataka nipenye dirishan nipige hilo eneo au nijipige kitu ambacho watu hawakubali maana wanaona unawapiga wao!Hata wakati mwingine ananiambia chukua jiwe weka sehem flani then piga picha.
Hii inanifanya nionekane chizi mbele za macho ya watu ambao hawajui kinachoendelea..Nikikataa kufanya anachotaka ananuna siku nzima na Papucha nanyimwa
,JE NIFANYEJE MAANA NAMPENDA SANA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK