AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mourinho alitoka kwenye hoteli waliyofikia na kwenda kutafuta ukweli juu ya aliyetoboa siri hiyo na kuposti kwenye mitandao ya kijamii kikosi chake cha wachezaji 11 alichokipanga.
Mourinho na kikosi chake walipigwa picha wakati wakitoka kwenye kituo cha treni cha Stockport siku ya Ijumaa walipokuwa wakielekea kwenye hoteli ya Pestana kwaajili ya kuikabili Chelsea.
Hata hivyo inaelezwa kuwa wachezaji na baadhi ya wafanyakazi pekee ndiyo waliyojua kikosi kitakachoanza siku hiyo dhidi ya Chelsea kabla ya kusambaa kwake kwenye mitandao.
Hii ni mara ya pili kwa kikosi cha Manchester kuvuja kabla ya mechi iliwahi kutokea hata walipokwenda kuikabili West Ham mwezi uliyopita.
United iliyokuwa na mwanzo mbaya katika dakika 45 za kipindi cha kwanza Stamford Bridge kabla ya kujipanga kipindi cha pili, wachezaji walirejea Manchester siku ya Jumamosi huku wakionekana kukata tamaa baada ya kulazimishwa sare kwenye dakika za ziada kabla ya mchezo huo kumalizika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK