AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ray amefunguka kuwa yupo katika mapambano makubwa ya kufa na kupona ili kuhakikisha mtoto wake wa kipekee Jaden anaenda kupata elimu bora kabisa.
Katika mahojiano yake na Gazeti la Dimba, Ray alisema si kwamba Tanzania hakuna shule bora kwa hapa nyumbani lakini ndoto zake anatamani mwanawe asome nje ya Tanzania kama ambavyo amejiwekea toka awali.
Nilitamani sana mwanangu akasome nje na akikua kidogo tu atasoma moja ya shule bora kabisa, natamani abadilishe mazingira, natambua zipo shule bora sana hapa lakini si mbaya pia akazoee na mazingira mengine, napambana kuhakikisha namwekea akiba ya kutosha ili asipate tabu katika kupata elimu yake”.
Jadrn ni mtoto wa kwanza wa Ray aliyezaa na Msanii mwenzake wa Bongo movie mwanadada Chuchu Hansy.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK