Ali Kiba Amtumia Salamu Za Pongezi Jokate Mwegelo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ali Kiba Amtumia Salamu Za Pongezi Jokate Mwegelo
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Ali Saleh Kiba amemtumia salamu za pongezi Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kazi nzuri anayefanya.

Ali Kiba ambaye ameshawahi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Jokate katika siku za nyuma amefunguka kusema Jokate ni mmoja Kati ya viongozi wachapa kazi na kazi sake anazofanya zinaonekana.

Ali Kiba alifunguka hayo kwenye mahojiano na Big Chawa ambaye alimuuliza Kama anachochote cha kumwambia Mkuu wa wilaya ya Kisarawe mrembo Jokate naye alifunguka:

Namwambia Afanye kazi na pia nimeona kazi zake anazofanya jinsi zinavyoenda vizuri kwa hilo ninampongeza”.

Lakini pia mahojiano hayo Ali kiba amekana taarifa kwamba nyimbo sake mbili alizozitoa mwishoni zimebuma na kudai anaona amefanya vizuri tu Kama siku nyingine.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad