AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja wa Azam FC, Philip Alando amesema kuwa mipango imekaa sawa na nguvu kubwa kwa sasa ni kwenye mchezo wao wa ligi kuu unaofuata dhidi ya Stand United.
"Ushindani ni mkubwa jambo ambalo linazidi kutupa nguvu na kutufanya tufikirie kupata matokeo mazuri zaidi, kwa sasa timu ipo kwenye maandalizi ya mchezo wetu dhidi ya Stand United, tunawaheshimu wapinzani wetu hivyo tumejipanga kufanya vizuri," alisema.
Azam FC wanashika nafasi ya pili kwenye msimamo wamecheza michezo 13 bila kupoteza wameshinda michezo 10 na kutoa sare 3 wana pointi 33 tofauti ya pointi 2 na Yanga ambao ni vinara wa Ligi kwa sasa wakifuatiwa na Simba.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK