AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ikumbukwe Hawa alikuwa na tatizo la ini ila ni moyo ndio uliokua unapelekea mgonjwa kujaa maji mwilini na Babu Tale ndio alipewa jukumu la kusimamia matibabu yake nchini India kwa kuwa gharama zote za matibabu alizitoa Diamond Platnumz.
Ujumbe wa Babu Tale ni huu hapa:-Asante Mungu, asanteni watanzania kwa dua zenu. Hawa sasa yupo salama kabisa... Ameshatoa nyuzi na yupo tayari kurudi nyumbani. Haikua kazi rahisi kupitia alipo pitia, pia tunaomba muendelee kutuombea dua ili tuwe na nguvu ya kuendelea kusaidia wenzetu. Haikua rahisi kumuacha mgonjwa siku ya kwanza anatoka theatre, ila ilibidi nirudi kusimamia majukumu mengine... nikikumbuka alivyonililia mama yake mpaka nikatamani nisirudi TZ, ila majukumu mengine yalifanya nirudi. Amka uende kusali, Mungu yupo na dua pia zipo!!! maana kila nikikumbuka lile tumbo la Hawa, na Leo halipo tena... maana yake Mungu alikua anataka kuonyesha nguvu zake!! Nakumbuka aliniambia lile tumbo amekaa nalo mwaka mmoja na nusu, ila kwa nguvu ya Mungu limeondoka ndani ya mwezi mmoja, SubhanaAllah!! anasema anajiona mwembamba na mwili hajauzoea... Ijumaa Kareem
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK