Bobi Wine Afanya Tamasha la Kwanza Tangu Ashtakiwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nyota wa muziki wa pop na mbunge wa upinzani nchini Uganda ‘Bobi Wine’ amefanya tamasha lake kwanza tangu ashtakiwe na kufungwa kwa mshtaka ya uhaini.

Katika tamasha hilo la Bobi Wine kulikuwa na idadi kubwa ya polisi, ambapo liliruhusiwa tu kufanyika kwa sababu halikuwa la kisiasa.

Aidha, Bobi Wine anadaiwa kuteswa na kupigwa akiwa kizuizini mwezi Agosti mwaka huu, madai ambayo yalikanushwa na mamlaka.

Umaarufu wake miongoni mwa vijana nchini Uganda unaonekana kuwa changamoto kubwa kwa rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni.

Baadhi ya maelfu ya watu waliohudhuria katika tamasha hilo walikuwa wamevalia nguo nyekundu, rangi inayohusishwa na vuguvugu la Bobi Wine la People Power.


Watoto wa Uganda waonesha jumba walilonunuliwa na French Montana
“Ninashukuru polisi wa Uganda kwa kutupa ulinzi mkubwa kwa ajili ya usalama wetu, lakini sio kama hapo awali walipokuwa wakituzuia,”amesema Bobi Wine
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad