AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
FIFA imetangaza kufikia maamuzi hayo baada ya kujiridhisha kuwa Kwesi alitenda kosa la kupokea rushwa kinyume na taratibu za kazi yake kutoka kwa muandishi wa habari za uchunguzi.
Kwesi amekutwa na hatia ya kuokea rushwa ya zaidi ya Tsh Milioni 149 kutoka kwa mwanahabaribari aliyekuwa anafanya habari za uchunguzi wa ufisadi na rushwa katika mchezo wa soka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK