AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakili wa Mbunge Huyo Jebra Kambole amesema polisi wamefika nyumbani kwa mteja wake Maeneo ya Masaki Jijini Dar es Salaam na Kufanya upekuzi.
Kambole ameeleza kuwa baada ya kukamatwa alipelekwa oysterbey polisi ambapo baadaye alihamishiwa kituo kikubwa cha polisi na hakulala hapo alihamishiwa kituo cha mburahati.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK