Halima Kimwana: Ni Haki Yake Diamond Kubadili Wanawake Atakavyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Halima Kimwana: Ni Haki Yake Diamond Kubadili Wanawake Atakavyo
Dada wa hiari wa msanii Diamond Platnumz, Halima Kimwana amesema kuwa muimbaji huyo kubadili wanawake kila mara ni kitu ambacho hakimsumbui.

Akizungumza na Wasafi TV amesema mwanaume kubali wanawake ni jambo la kawaida hivyo hawezi kuona ni kitu cha tofauti.

"Mimi mdogo wangu akibadilisha wanawake siwezi kukasirika kwa sababu mdogo wangu ni mwanaume na mwanaume anatakiwa abadilishe wanawake," amesema.

"Mwanamke yeyote atakayekuja kwa mdogo wangu ni wifi yangu siwezi kumchagulia mwanamke," amesema.

Muimbaji Diamond Platnumz ameshakuwa na mahusiano na warembo kadhaa maarufu kama Wema Sepetu, Penny, Zari The Bosslady na Hamisa Mobetto.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad