AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jokate ameweka wazi kuwa anataka kuweka pembeni mambo mengine yote na kuhakikisha anafanya kazi mwanzo mwisho hadi aone wilaya yake imebadilika na kuwa anavyotaka.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Amani, Jokate alisema kuwa mambo ya urembo na mengine yote aliyokuwa anayafanya, anayaweka pembeni kuhakikisha vitu muhimu vinavyotakiwa kuwepo Kisarawe vipo na vitakuwa vya kudumu hata kama yeye hatakuwepo.
Yaani mambo sijui ya kujiona mrembo huku kwangu mimi sina, sasa hivi yaani nataka kuona Kisarawe ambayo haina ziro, mimba za utotoni hakuna, unyanyasaji wa kijinsia umeondoka kabisa hata kama sitakuwepo madakarani“.
Jokate ameonekana kufanya vizuri sana kwenye nafasi aliyochaguliwa miezi michache iliyopita kwani Mpaka sasa ameshafanya mambo ya maendeleo katika Wilaya yake ya Kisarawe.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK