AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiwa katika falme za kiarabu msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara hakusita na yeye kuutumia msemo huo kwa mskhara akiuliza kama Konki hajamtaja jina lake.
”Hamjambo!! Konki hajanitaja huko?, Wabongo hawakawii!!. Okey mm najilia Nchi huku,maisha yanahitaji kujituma kisha kula bata,endeleeni kutajana tu,” amesema Haji Manara akiwa Dubai.
Hamjambo!!
Konki hajanitaja huko?
Wabongo hawakawii!!
Okey mm najilia Nchi huku,maisha yanahitaji kujituma kisha kula bata,endeleeni kutajana tu
Neno Konki limezidi kuwa maarufu kiasi kwamba hadi kutumika katika matangazo ikiwemo WasafiFesrtival tamasha linaloandaliwa na Wasafi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK