Konki Hajanitaja Huko Maana Wabongo Hawakawii- Haji Manara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Konki Hajanitaja Huko  Maana Wabongo Hawakawii- Haji Manara
Msemo wa Konki uliyoanzishwa na msanii wa muziki wa Hip Hop nchini, Dudu Baya wakati akiwataja baadhi ya watu aliyowatuhumu kujihusisha na vitendo vya ushoga umezidi kushika kasi kiasi kwamba hadi baadhi ya watu mashuhuri sasa kuutumia.



Akiwa katika falme za kiarabu msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara hakusita na yeye kuutumia msemo huo kwa mskhara akiuliza kama Konki hajamtaja jina lake.

”Hamjambo!! Konki hajanitaja huko?, Wabongo hawakawii!!. Okey mm najilia Nchi huku,maisha yanahitaji kujituma kisha kula bata,endeleeni kutajana tu,” amesema Haji Manara akiwa Dubai.

Hamjambo!!
Konki hajanitaja huko?
Wabongo hawakawii!!
Okey mm najilia Nchi huku,maisha yanahitaji kujituma kisha kula bata,endeleeni kutajana tu


Neno Konki limezidi kuwa maarufu kiasi kwamba hadi kutumika katika matangazo ikiwemo WasafiFesrtival tamasha linaloandaliwa na Wasafi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad