AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza wakati wa uchangiaji kwenye kongamano la kujadili hali ya uchumi na siasa katika kipindi cha miaka mitatu ya utawala wake ambapo alitaja chanzo cha fedha hizo.
“Mengine tumenunua ndege, kwa sababu watalii wetu walikuwa wachache, huwezi ukategemea shirika la ndege la jirani kuleta watalii kwenye nchi yako, tumeamua na ndio maana tumenunua ndege saba, hatukukopa nchi yoyote”, amesema Rais Magufuli
“Ni hizi hizi fedha tulizowabana mafisadi ndio tumenunua ndege, unambana fisadi anaendelea kulia kule lakini fedha unepeleka kwenye ndege wananchi wengine wananufaika, na ukilipa kwa mkupuo gharama inakuwa ndogo”, ameongeza.
Aidha Rais Magufuli kwa kipindi cha miaka mitatu serikali imefanikiwa kushughulikia masuala mbalimbali, ikiwemo utoaji wa elimu bure, na kuimarisha hali ya uchumi kwa kufufua mashirika ya umma.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK