AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wabunge hao ambao walikuwa upinzani hasa CHADEMA ni aliyekuwa Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul, Mbunge wa Simanjiro James Ole Milya, Joseph Mkundi wa Ukerewe pamoja na Marwa Chacha wa Serengeti.
Akizungumza Jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi Giveness Aswile amesema kuwa, wagombea hao wanatoka katika vyama sita vya siasa ambavyo ni AFP, CCM, CUF, NCCR Mageuzi, NRA na UDP.
“Walitangazwa kuwa wamepita bila kupingwa kwa mujibu wa kifungu cha 44 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi fomu za uteuzi, kukosa sifa kwa sababu mbalimbali zikiwemo kutorudisha fomu kwa wakati na wengine kutojaza fomu hizo kikamilifu.”
Aidha NEC imesema imezuia wagombea udiwani 29 ambao hawakuteuliwa kuwa kwa kushindwa kurejesha fomu za uteuzi, kutojaza fomu za uteuzi kwa usahihi, kutosaini fomu za kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na kukosa sifa za kugombea udiwani kwa mujibu wa sheria.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK