AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa hizo zilisambaa leo, Novemba 26, 2018, na kupelekea www.eatv.tv kumtafuta Kamanda wa Polisi kutaka kujua undani zaidi wa jambo hilo na hali ya usalama ambapo amekanusha kuwa hakuna waasi wala wananchi wa msumbiji waliovuka mpaka na kuingia nchini kwasababu ya kushambuliwa.
''Mipaka yetu ipo salama, hakuna watu wala waasi walioingia nchini, askari wetu wapo kazini saa 24 hivyo wananchi waondoe hofu usalama upo wa kutosha na hakuna tukio kama hilo'', amesema Kamanda Mkondya.
Aidha Kamanda Mkondya amesema kuwa eneo la mpaka ni kubwa haliwezi kuwa na askari muda wote hivyo ametoa wito kwa wananchi kuhakikisha wanatoa taarifa endapo wataona watu wageni wasiowafahamu wameingia katika eneo lao.
''Wananchi tumeshawapa namba zetu za simu wakimuona mtu ambaye wanamtilia shaka wawasiliane na sisi haraka ili askari wafike katika eneo hilo mara moja, lakini kiujumla mkoa na mipaka yake viko salama''.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK