AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli amesema hayo leo Novemba 27, 2018 kwenye ufunguzi wa maktaba ya kisasa katika Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM).
“Maendeleo hayana chama, ndio maana leo Mzee Lowassa yupo hapa, nikushukuru kwa utulivu wako nilipokutupa chini baada ya uchaguzi ulikaa kimya, maana tuligombea mimi na wewe lakini wengine wanapiga kelele tu, kwakweli nikupongeze kwa uzalendo..Naomba mzee Lowassa ukatusaidie kuwaelekeza na wenzako unaowaongoza huko namna ya uzalendo vinginevyo wataishia magerezani ili wakajifunze namna ya kuziheshimu sheria za Watanzania,”amesema Rais Magufuli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK