Simba yasema haiwajui Mbabane Swallows

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Simba yasema haiwajui Mbabane Swallows
Klabu ya soka ya Simba imesema kuwa haiwajui vizuri wapinzani wao Mbabane Swallows lakini imejiandaa kupata ushindi kwa mazingira yoyote katika mchezo wao kwa raundi ya awali wa ligi ya mabingwa kesho.


Hayo yamesemwa na kocha wa makipa wa klabu hiyo, Mohamed Moharami ambaye amebanisha kuwa Simba imefanya maandalizi mazuri ikitambua kuwa mchezo huo wa kesho wanahitaji kushinda.

''Tunawaheshimu wapinzani wetu japo hatuwajui vizuri ila tupo tayari kwa mchezo na wachezaji wetu wako vizuri isipokuwa Shomari Kapombe na Asante Kwasi ambao ni majeruhi lakini waliobaki wote wapo vizuri kwaajili ya mchezo'', amesema Moharami.

Simba inarejea kwenye klabu bingwa baada ya misimu takribani mitano kupita ambapo msimu wa mwaka jana ilicheza kombe la shirikisho na kutolewa katika hatua za awali na klabu ya Al Masry ya Misri.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad