AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamesemwa na kocha wa makipa wa klabu hiyo, Mohamed Moharami ambaye amebanisha kuwa Simba imefanya maandalizi mazuri ikitambua kuwa mchezo huo wa kesho wanahitaji kushinda.
''Tunawaheshimu wapinzani wetu japo hatuwajui vizuri ila tupo tayari kwa mchezo na wachezaji wetu wako vizuri isipokuwa Shomari Kapombe na Asante Kwasi ambao ni majeruhi lakini waliobaki wote wapo vizuri kwaajili ya mchezo'', amesema Moharami.
Simba inarejea kwenye klabu bingwa baada ya misimu takribani mitano kupita ambapo msimu wa mwaka jana ilicheza kombe la shirikisho na kutolewa katika hatua za awali na klabu ya Al Masry ya Misri.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK