AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Licha ya Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kumtaka Rayvanny aufute wimbo wake mpya wa Mwanza kwenye mitandao ya kijamii kabla ya saa 10:00 jioni ya leo, Msanii huyo mpaka sasa hajaufuta wimbo huo mtandaoni.
Video ya wimbo huo mpaka sasa umetazamwa mara milioni 1+ (views milioni 1+) na kwa Tanzania upo namba moja kwenye Trending katika Mtandao wa YouTube.
Mapema leo BASATA walitoa tamko la kuufungia wimbo huo kutotumika kwa namna yoyote ile kwa kile walichoeleza kuwa maudhui ya wimbo huo yanakiuka maadili ya mtanzania.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK