AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yameelezwa na wakili wa Serikali, Emmanuel Nitume, kwa hakimu mkazi wa mahakama hiyo, Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipokuwa tayari kwaajili ya kutajwa.
Madai hayo ya Wakili wa serikali pia yalielezwa na moja ya ofisa wa magereza ambaye naye alikiri idara ya magereza kushindwa kuwafikisha watuhumiwa kwa sababu ya changamoto ya usafiri.
Sethi na Rugemalila wanashtakiwa kwa jumla ya makosa 12 ikiwemo kosa la kuhujumu uchumi pamoja na utakatishaji wa pesa zaidi ya bilioni 309, sambamba na kupanga njama za kujenga mitandao ya kiuhalifu.
Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa tena Disemba 6 mwaka huu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK