AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi Wa mkoa huo Kamishina msaidizi Mwandamizi Henry Mwaibambe amesema wafanyabiashara hao wanashikiriliwa kwa kufanya utapeli fedha za wananchi.
Kamanda mwaibambe amesema kuwa watuhumiwa hao wamekuwa wakiwalaghai wananchi na kuchukua pesa zao na walipofanyiwa upekuzi nyumbani mwao wamekutwa na mtambo wa kutengeneza fedha bandia na plati zake.
Aidha uchunguzi bado unaendelea na utakapo kamilika kamanda Mwaibambe ataongea na vyombo vya habari rasmi kuhusiana na tukio hilo na kuwataja wahusika kwa majina.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK