AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gpl, lilipokua likiongea na watu wa karibu , majirani zake wanasema kuwa ni afadhali mwanadada huyo kuwa ameondoka katika mtaa huo kwa sababu amewapunguzia shida walizokuwa wakizipata kila mara.
Baada ya kutaka kuthibtisha habari hizo, GPL waliamua kwenda alipouwa akikaa wema na hawakufanikiwa kukutana na Wema bali majiran zake ambapo moja ya majirani hao alisema kuwa ni kweli Wema alihama nyumba hiyo usiku wa jana yake mida ya saa mbili alipokuja na gari na kubeba kila kitu chake cha ndani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK