Wema Adaiwa Kukimbia Nyumba, Majirani Wafurahi Kupunguziwa Kero

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mambo Yazidi Kuwa Magumu kwa Wema Adaiwa Kukimbia Nyumba, Majirani Wafurahi Kupunguziwa Kero
Akiwa bado anakumbwa na majanga kibao, mwanadada wema sepetu ameripoti wakukimbia nyumba anyokaa kwa madai kuwa ameshindwa kueledelea kulipo kodi katika nyumba hiyo aliyokuwa akikaamaeneo ya salasala.

Gpl, lilipokua likiongea na watu wa karibu , majirani zake wanasema kuwa ni afadhali mwanadada huyo kuwa ameondoka katika mtaa huo kwa sababu amewapunguzia shida walizokuwa wakizipata kila mara.

Baada ya kutaka kuthibtisha habari hizo, GPL waliamua kwenda alipouwa akikaa wema na  hawakufanikiwa kukutana na Wema bali majiran zake ambapo moja ya majirani hao alisema kuwa ni kweli Wema alihama nyumba hiyo usiku wa jana yake mida ya saa mbili alipokuja na gari na kubeba kila kitu chake cha ndani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad