AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dada wa staa wa Bongo fleva nchini Ali Kiba, Zabibu Kiba amefunguka na kuanika sababu za kumuacha mume wake Abdi Banda nchini Afrika ya Kusini na kuamua kurudi Tanzania mwenyewe.
Zabibu na mume wake Abdi Banda walihamia SA ambako anacheza soka la kulipwa, miezi michache iliyopita Mara tu Baada ya kufunga ndoa lakini ghafla Zabibu ameonekana kurudi Tanzania na kumuacha mumewe SA.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Risasi Vibes, Zabibu alisema amekuwa akipata maswali mengi kutoka kwa watu mbalimbali kwamba imekuwaje amemwacha mumewe Afrika Kusini na kurudi Bongo ambapo alisema amerudi kwa sababu kibali cha kuishi nchini humo ‘viza’ kiliisha muda wake.
Sioni kama kuna tatizo mimi kurudi mapema Bongo maana ndiyo nyumbani kwa wazazi ila sababu kubwa ni kwamba Kusini na kurudi Bongo ambapo alisema amerudi kwa sababu kibali cha kuishi nchini humo ‘viza’ kiliisha muda wake.
Viza yangu ilikuwa hainiruhusu kuendelea kukaa Afrika Kusini kwa muda mrefu kwa hiyo kuna mambo nimerudi kuyaweka sawa kisha nitarudi tena kwa mume wangu kuendeleza mahaba kama kawaida”.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK