Diana Ajiweka Mazima kwa Wema Sepetu "Hakuna wa Kututenganisha"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Diana Ajiweka Mazima kwa Wema Sepetu "Hakuna was Kututenganisha"
BAADA ya kudaiwa kuwa msanii wa Bongo Muvi, Diana Kimari ni kati ya marafiki wa Wema Sepetu waliotakiwa kuwa mbali naye, mrembo huyo amefunguka kuwa, yeye bado anampenda Wema na hakuna wa kuwatenganisha.



Akizungumza na Risasi Jumamosi, Diana alidai kuwa hakuwahi kutetereshwa na maneno ya waja, akasisitiza; ‘wanaodhani na mimi nimewekwa mbali na Wema na ndiyo maana simposti kwenye ukurasa wangu wa Insta kama ilivyokuwa huko nyuma, wanachekesha’.



“Niwafahamishe tu kwamba hakuna wa kunitenganisha na Wema, yule ni rafiki, ni kama dada yangu, tumegandana, manenomaneno sitaki, waniache na maisha yangu,” alisema Diana.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad