Dogo Janja Amjengea Mjengo Mama Yake Baada Ya Baba Yake Kufariki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dogo Janja Amjengea Mjengo Mama Yake Baada Ya Baba Yake Kufariki
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Abdul Chende maarufu kama Dogo Janja ameuanika mjengo ambao amemjengea Mama yake mzazi miaka miwili baada ya baba yake kufariki.


Siku ya jana December 4, 2018 Dogo Janja, amefanya dua ya kumuombea Baba yake ambapo pia ametuonyesha nyumba aliyomjengea Mama yake Mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha Mama yake anaishi sehemu nzuri.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Millard Ayo Tv, Dogo Janja ameandika mjengo huo na kufunguka mengi:



Sisi tumekulia katika nyumba ya kupanga, Mimi na Kaka yangu tulikuwa tunalala sebuleni baada ya Baba kufariki Mimi nimebaki kama Baba wa familia, Mama angu anahitaji sana faraja, najitahidi sana kumpa faraja sababu siwezi badilishana na Mtu mama”.

Lakini pia Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Dogo Janja amefunguka muhimu wa yeye Kama Mtoto wa kiume kumjengea Nyumba hiyo Mama yake:



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad