AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye Friday Night Live ya East Africa Television, Fid Q ambaye mara nyingi huwa hapendi kuweka wazi maisha yake binafsi, amesema kwamba kauli ya kuambiwa hana maendeleo yoyote licha ya kuwa na 'influence' kwa vijana wengi, ameamua kuwajibu watu hao kivitendo na kuonyesha gari yake aina ya 'Jeep', ambayo ina mpaka Dj Set nyuma.
“Kuna kitu kilinigusa sana kwenda kusema kwamba mimi ni msanii mkubwa kwenye Hip hop nina 'influence', nawahamasisha vipi vijana waone kama hiki kitu inaleta maana, nikasema sawa labda nikionyesha hii kitu itasaidia kuwaeleza vijana”, amesema Fd Q.
Gari hiyo ya Fid Q, Jeep Cherokee inauzwa dola 33,320 ambayo ni sawa na zaidi ya milioni 76 za Tanzania
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK